Tanguliza kwa ajili ya Akhera yako, na bajeti yetu moja kwa moja kwa simu na kadi zote
UKUEM ni taasisi isiyo ya kiserikali, inayojihusisha na masuala ya elimu, uchumi na maendeleo ndani ya Zanzibar.
UKUEM inaendesha shughuli zake chini ya Kanuni zilizopo katika toleo la kanuni la mwaka 1430H, sawa na mwaka 2009.
Kusimamia utoaji wa Elimu ya Dini na uenezi wa falsafa ya Uislamu kwa mujibu wa Qur-an na Sunnah. Soma zaidi
Kusimamia masuala ya wanafunzi wa ngazi ya msingi mpaka ya juu, ikiwemo na mikopo isiyo na riba
Kusimamia ukuaji wa kijamii na kiimani kwa wale waliorejea katika dini ya haki
Kusimamia utoaji wa Habari, nakala za utafiti na upatikanaji wa taarifa kwa jamii kupitia Maktaba
Kusimamia ukuaji wa kiuchumi katika ngazi zote za kijamii, katika vijiji
To engage in any Activities, Projects or Business falling under our Objectives.
Kubuni masuala ya teknolojia na ufundi, kwa ajili ya manufaa ya jamii
a number of land plots for the purpose of investing in Islamic Developments Projects especially Islamic Historical Heritage Centers, Islamic Public Libraries, Health Centers, Schools, Vocation Training Colleges, and Orphanages, with side projects for agriculture, livestock and small scale production units. Here is some of our compliant documents and our on going and upcoming projects.
Islamic Education Project which explores the roots of Islamic Religion through modern Visual program and teaching aids for Secondary Schools (O-Level and A-level). videos and app